Home > Terms > Swahili (SW) > lugha iliyodhibitiwa

lugha iliyodhibitiwa

Ni sehemu ya lugha ya kiasili ambayo huwa na vizuizi kuhusu namna sarufu na msamiati ili kupunguza ama kuondoa utata na uchangamano. Lengo lake ni kuyafanya matini kuwa nyepesi na yanayoeleweka. Lugha iliyodhibitiwa ni hitaji muhimu katika kufanikisha utafsiri kwa kutumia tarakilishi.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

Ann Njagi
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 12

    Followers

Industry/Domain: Internet Category: Social media

Mjomba Cat

cat cuddly kwa jina la Hatch-chan kwamba akawa kimataifa maarufu na blog yake mwenyewe na smiles kipekee. kupotea akageuka Mashuhuri paka alikuwa na ...