
Home > Terms > Swahili (SW) > kutoka
kutoka
Mungu kuingilia kati kuokoa katika historia ambapo yeye aliwaweka huru Wahebrania kutoka utumwa katika Misri, akafanya agano nao, na kuwaingiza katika nchi ya ahadi. Kitabu cha Kutoka, cha pili katika Agano la Kale, kinasimulia historia hii ya kuokoa (62). Kutoka huadhimishwa na Wayahudi wakati wa Pasaka, ambayo kwa Wakristo ni kielelezo cha "Pasaka" kwake Yesu Kristo katika kifo na maisha na ni sherehe katika kumbukumbu la Ekaristi (1363).
0
0
Improve it
- Part of Speech: noun
- Synonym(s):
- Blossary:
- Industry/Domain: Religion
- Category: Catholic church
- Company:
- Product:
- Acronym-Abbreviation:
Other Languages:
Member comments
Terms in the News
Featured Terms
lugha tenganishi
lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...
Contributor
Featured blossaries
Browers Terms By Category
- Nightclub terms(32)
- Bar terms(31)
Bars & nightclubs(63) Terms
- Festivals(20)
- Religious holidays(17)
- National holidays(9)
- Observances(6)
- Unofficial holidays(6)
- International holidays(5)
Holiday(68) Terms
- Cultural anthropology(1621)
- Physical anthropology(599)
- Mythology(231)
- Applied anthropology(11)
- Archaeology(6)
- Ethnology(2)
Anthropology(2472) Terms
- Dating(35)
- Romantic love(13)
- Platonic love(2)
- Family love(1)
Love(51) Terms
- Bridge(5007)
- Plumbing(1082)
- Carpentry(559)
- Architecture(556)
- Flooring(503)
- Home remodeling(421)